Amesema “tatizo ni kwamba kila mwanamuziki ana njia yake anaitafutia hela mpaka muziki wake unajulikana mpaka anafika alipo, huwezi kujua kapitia wapi ndio maana kwa kila uamuzi atakao utoa inabidi niuheshimu japo wakati mwingine naona kama wanakosea lakini pia hawakosei, yani A na B yote majibu”
Diamond amesema hawezi kuwashauri chochote kwa sababu hao wasanii ni wakubwa zake kimuziki, kawakuta na siwezi nikawa mtu wa kuwashauri wao japo mdogo anaweza kumshauri mkubwa”
kuhusu wasanii walioshirikishwa kwenye TUZO za mwaka huu Diamond amesema anaona ni halali kwa sababu waliowachagua wanaufahamu muziki na mapungufu yoyote yaliyojitokeza wakubaliane nayo tu kwa sababu hakuna kisichokua na kasoro.
No comments:
Post a Comment