1
Kwa ufupi Stori yake iko hivi, wakati wanajeshi waasi kutoka nchi jirani wanashambulia kambi ya askari wa ujasusi wa marekani, mwanajeshi mmoja mdogo kiumri inabidi achukue jukumu la kumuhamisha muhalifu ambae alikua amefungiwa kwenye kambi ya C.I.A, utata unakuja wakati mission inatakiwa kukamilika pale ambapo mtuhumiwa huyo atafikishwa kwenye sehemu salama, kuna mkono mrefu sana ndani yake.
Hiyo ni sehemu ya movie mpya ya densel washington, inaitwa Safe House ambayo imechezwa cape town Afrika kusini, starring ni Denzel washington mwenyewe pamoja na Ryan Reynolds.
Director ni mkali Daniel Espinosa, ambapo kama sijakosea hii ndio itakua movie ya Denzel Washington inayofata baada ya kutoa ustoppable mwaka juzi.
Chek Trailer yake hapo chini..
CLICK hapa Kutazama Trailer
No comments:
Post a Comment