Whitney amefariki akiwa na umri wa miaka 48
Mwanamuziki mashuhuri wa
Marekani Whitney Houston amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 48, kwa
mujibu wa Kristen Foster, mwandishi wake wa habari.
Sababu za kifo chake bado hazifahamiki, lakini polisi wamesema hakuna dalili ya mtu yoyote kusika na kifo cha nyota huyo wnitney Akiwa mmoja wa wanamuziki wenye mafanikio
makubwa duniani, pia aliwahi kuwa mcheza filamu, katika michezo kama
vile The Bodyguard na Waiting to Exhale.
Fani yake iliwahi kuzongwa na matumizi ya dawa za kulevya na maisha yake yenye matatizo katika ndoa na msanii Bobby Brown.
No comments:
Post a Comment