Jamaa fulani aliingia hoteli moja ya KIMATAIFA na
alipofika ndani alifurahi sana baada ya kukuta kunacomputer ya kutumia chumbani
kwake, tena iliyounganishwa na Internet... Jamaa bila hata ya kupoteza muda
akaamua kumwandikia e-mail mkewe.... Kwa bahati mbaya katika kutuma akakosea na
kumtumia mwanamke mmoja mjane ambaye ndo alitoka kwenye mazishi ya mumewe... Yule mwanamke aliyetokakwenye mazi......shi, baada tuya
kufika kwake bila ya kupoteza muda akawasha laptop yake na kuanza kusoma e-mail
zake ili aweze kujibu salamu za rambi rambi toka kwa ndugu, jamaa na
marafiki... Baada ya kusoma e-mail moja tu ya kwanza yule mama
akapiga kelele na kuzimia.... Mwanaye wa kwanza wa kiume akatoka mbio mpaka
chumbani na kumkuta mama yake kazimia, kucheki pembeni akaona kuna e-mail
mamake alikuwa anaisoma, so jamaa akaamua kuipitia faster kujua kama ndio
tatizo... E-mail ilikuwa hivi... *************** * To: My lovely wife!!! Najua lazima unashtuka sana kupata hii e-mail
tokakwangu... Sikutegemea kukuta computer hupa ila zipo na
tunaruhusiwa kuzitumia... Ndio nimefika huku na hapa ndo wamenipa chumba
changu... Nimepokelewa vizuri sana tofauti na nilivyo tarajia... Watu wamejaa
sana ila nafasi bado zipo na naona kila kitu kiko sawa na wamekuandalia vizuri
na wewe sehemu ya kufikia.. Nakusubiri kwa hamu sanamke wangu na usiogope,
safari ni fupi na utafika salama usijari, ukifika tu kuna watu maalumu
watakupokea... Mwambie huyo mwanetu mkubwa wa kiume na wadogo zakewote watakuja
jumuika nasi wiki ijayo hivyo wajiandae... Nategemea sana ujio wako wa kesho ili tuwe wote
pamoja. Can't wait to see you honey, ♥ :) From: Your lovely, Husband!
cool story
ReplyDeleteha ha ha ha ha ha
ReplyDeletelazima uchanganyakiwa
ReplyDelete