Afrika Kusini inatoa noti mpya zenye picha ya Nelson Mandela.
Rais Jacob Zuma alitangaza hayo mjini
Johannesburg katika kutimiza miaka 22 tangu Bwana Mandela kuachiliwa
huru baada ya kifungo kirefu.
Alisema kufunguliwa kwa Bwana Mandela ndio ulikuwa mwanzo wa awamu mpya ya matumaini nchini Afrika Kusini.
No comments:
Post a Comment